Vidokezo
Karibu Bodi ya Mfuko wa Barabara

Bodi ya Mfuko wa Barabara ilianzishwa kwa SHERIA YA BARABARA NA TOZO YA MAFUTA, SURA YA 220. Bodi hii inaundwa na wajumbe tisa, wanne kutoka sekta ya Umma na watano kutoka sekta binafsi.Wajumbe hao ni Mwenyekiti (kutoka sekta binafsi), Katibu Mkuu - Wizara ya Ujenzi, Katibu Mkuu - Wizara ya Fedha na Mipango, Katibu Mkuu - Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mkurugenzi wa Barabara kutoka Wizara ya Ujenzi, Mwakilishi wa Chama cha Wasafirishaji Tanzania, Mwakilishi wa kutoka Hifadhi za Taifa - Tanzania, Mwakilishi kutoka Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania na Mwakilishi kutoka Shirikisho...

Habari
[150x90]
12
Sep
Rfb yatoa tahadhari kwa watumiaji wa barabara wakati wa mvua za el niño

Dodoma Soma zaidi

[150x90]
06
Aug
Dkt. Msonde: Lindeni Miundombinu ya Barabara ili kulinda Thamani Fedha za Umma

Dodoma Soma zaidi

[150x90]
20
Jun
Tozo za mafuta zinavyoboresha barabara za Tanzania: RFB yatoa elimu kwa wananchi

PSW Soma zaidi