Sehemu ya barabara ya TANZAM katika eneo la Makambako mkoani Njombe. Matengenezo ya barabara hii yanafanywa kwa fedha za Mfuko wa Barabara na hivyo kuifanya ipitike katika majira yote ya mwaka hali inayopelekea ukuaji shughuli za kiuchumi kupitia usafirishaji hasa wa magari ya mizigo kutoka bandari ya Dar es salaam hadi nchi jirani za Zambia na Malawi