![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1675523802-thumb_MTVL5347_1024.jpg)
Meneja wa Mfuko wa Barabara Bw. Eliud Nyauhenga, akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakati wajumbe hao walipotembelea ofisi za Bodi ya Mfuko wa Barabara jijini Dodoma, kushoto kwake ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Ali Hassan Omar King (Mb).
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1675523802-thumb_MTVL5347_1024.jpg)
Meneja wa Mfuko wa Barabara Bw. Eliud Nyauhenga, akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakati wajumbe hao walipotembelea ofisi za Bodi ya Mfuko wa Barabara jijini Dodoma, kushoto kwake ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Ali Hassan Omar King (Mb).
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1664955160-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Eng. Godfrey Kasekenya, akisalimiana na Meneja wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB) Eliud Nyauhenga, wakati akiwasili kwenye warsha ya kujadili namna ya kukabiliana na madhara ya mabadiliko ya tabianchi kwenye miundombinu ya barabara, iliyoandaliwa na Bodi ya Mfuko wa Barabara jijini Mwanza. Pamoja nao ni Katibu Mkuu Ujenzi Balozi Eng. Aisha Amour, na Mwenyekiti wa RFB Joseph Haule.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1664373351-0C6A9067.jpg)
Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB), wakikagua ujenzi wa barabara ya mawe ya Shule ya Msingi Igoma (mita 370) jijini Mwanza, inayojengwa kwa fedha za Mfuko wa Barabara. Ujenzi wa barabara za mawe unatoa fursa ya ajira kwa wananchi wa kawaida wasio na ajira rasmi katika hatua za uzalishaji wa mawe na ujengaji wa barabara hizo.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1664369496-0C6A9081.jpg)
Muonekano wa barabara ya Shule ya Msingi Igoma (mita370), iliyopo Igoma jijini Mwanza inayojengwa kwa kiwango cha mawe, kwa gharama ya shilingi za kitanzania milioni 167.1 fedha kutoka Bodi ya Mfuko wa Barabara.
Muonekano wa Kivuko cha MV Kazi kinachotoa huduma kati ya Magogoni Kigamboni mkoani Dar es Salam, ambacho ukarabati wake unafanywa kwa fedha za Mfuko wa Barabara.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1664369247-6.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa tuzo za kusanifu na kujenga barabara na madaraja kwa kutumia rasilimali zilizopo nchini (waliosimama), kwenye warsha ya kujadili namna ya kukabiliana na madhara ya mabadiliko ya tabia nchi kwenye miundombinu ya barabara, iliyofanyika jijini Mwanza
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1606302515-Magufuli Bridge.jpg)
Daraja la Magufuli lililopo Kilombero litadumu kwa muda mrefu iwapo litakarabatiwa mara kwa mara. Mfuko wa Barabara utatoa fedha za matengenezo ya daraja hili.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1606302394-Furahisha Bridge in Mwanza City Council.jpg)
Daraja la Furahisha jijini Mwanza limejengwa na litakarabatiwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1570517689-LBT.jpg)
Labour Based Routine Maintenance Works along Luale - Kododo Road in Mvomero District Council
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1570517595-Dodoma Babati Road.jpg)
Barabara ya Dodoma kwenda Babati itakayokarabatiwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara