Vidokezo
Karibu Bodi ya Mfuko wa Barabara

Bodi ya Mfuko wa Barabara ilianzishwa kwa SHERIA YA BARABARA NA TOZO YA MAFUTA, SURA YA 220. Bodi hii inaundwa na wajumbe tisa, wanne kutoka sekta ya Umma na watano kutoka sekta binafsi.Wajumbe hao ni Mwenyekiti (kutoka sekta binafsi), Katibu Mkuu - Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Katibu Mkuu - Wizara ya Fedha na Mipango, Katibu Mkuu - Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mkurugenzi wa Barabara kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Mwakilishi wa Chama cha Wasafirishaji Tanzania, Mwakilishi wa kutoka Hifadhi za Taifa - Tanzania, Mwakilishi kutoka Chama cha Wafanyabiashara,...

Habari
[150x90]
26
Jul
Watumishi Tunzeni Siri za Serikali

Singida Soma zaidi

[150x90]
29
May
Wananchi 15,000 Watumia Mfumo wa Kielektroniki wa Ufuatiliaji Hali ya Barabara

Bungeni, Dodoma. Soma zaidi

[150x90]
26
Feb
Dkt. Samia afanya maboresho makubwa kwenye miundombinu ya barabara

Dodoma Soma zaidi

Matukio

Warsha ya Kujadili Namna ya Kukabiliana na Atha...Soma zaidi

Picha