![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693924424-3.jpg)
Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Barabara wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Barabara Zanzibar pamoja na Wakala wa Barabara Zanzibar baada ya kukagua barabara ya Kibele - Cheju (4.1 km), iliyojengwa kwa teknolojia mbadala itwayo "Chip Seal"
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693924423-3.jpg)
Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Barabara wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Barabara Zanzibar pamoja na Wakala wa Barabara Zanzibar baada ya kukagua barabara ya Kibele - Cheju (4.1 km), iliyojengwa kwa teknolojia mbadala itwayo "Chip Seal"
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693923293-1.jpg)
Ukarabati wa sehemu ya barabara ya Mwanza hadi Shinyanga kwa fedha za Mfuko wa Barabara
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693912692-IMG_6244.jpg)
Muonekano wa Daraja jipya la Ngira mkoani Kilimanjaro lililojengwa kwa fedha za Mfuko wa Barabara
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1685117477-6.jpg)
Acting Roads Fund Manager Eng. Rashid Kalimbaga (3rd L) in a group photo with Roads Fund Board staff at the parliament grounds in Dodoma, where Board’s staff were disseminating information to the Members of the Parliament on the proper use of electronic roads monitoring application.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1681366743-1.jpg)
Kaimu Meneja wa Mfuko wa Barabara, Mhandisi Rashid Kalimbaga, akisaini Mkataba wa ushirikiano wa uanzishaji na uendeshaji wa mpango wa tathmini ya barabara Tanzania katika warsha ya kufunga mradi wa majaribio ya mpango wa hatua kumi (Ten step plan), kuhusu miundombinu salama ya barabara nchini iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Chama cha Barabara Tanzania Bw. Joseph Haule.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1681366508-mkiti.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe. Naghenjwa Kaboyoka (Mb.) akipokea matangazo ya Mfumo wa Kielektroniki wa Ufuatiliaji wa Hali ya Barabara kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Octavian Mshiu (Kulia), wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu Ujenzi Balozi Mhandisi Aisha Amour pamoja na aliyekuwa Meneja wa Mfuko wa Barabara Eliud Nyauhenga.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1681366351-km @ rfb.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Eng. Godfrey Kasekenya, akisalimiana na aliyekuwa Meneja wa Mfuko wa Barabara Bw. Eliud Nyauhenga (kulia), wakati akiwasili kwenye warsha ya kujadili namna ya kukabiliana na madhara ya mabadiliko ya tabianchi kwenye miundombinu ya barabara, iliyoandaliwa na Bodi ya Mfuko wa Barabara jijini Mwanza. Pamoja nao ni Katibu Mkuu Ujenzi Balozi Eng. Aisha Amour, na Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara aliyemaliza muda wake Bw. Joseph Haule (kushoto).
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1693901318-stone paved.jpg)
Barabara ya Shule ya Msingi Igoma (mita370), iliyopo Igoma jijini Mwanza iliyojengwa kwa mawe, kwa gharama ya shilingi za kitanzania milioni 167.1 fedha kutoka Bodi ya Mfuko wa Barabara.
![First slide [1125x400]](https://www.roadsfund.go.tz/uploads/gallery//1682324950-Kiyegeya1.jpg)
Muonekano Daraja la Kiyegeya mkoani Morogoro lilijengwa na litakarabatiwa kutumia fedha za Mfuko wa Barabara